WAZIRI MWIGULU: WAFANYABIASHARA MSIOGOPE KUWEKA FEDHA BENKI, HAZITACHUKULIWA
Waziri wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba amewataka wafanyabiashara wanaoficha fedha majumbani kuacha tabia hiyo kwa maelezo kuwa fedha zao haziwezi kuchukuliwa. Dk Mwigulu ameeleza hayo leo Jumamosi Aprili 3, 2021 katika kikao na watendaji wa wizara hiyo na Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) na Msajili wa Hazina (TR). “Kwa wale wafanyabiashara
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed